FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-0 Geita Gold | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Agosti 17, 2022

Leo tunaongoza ligi kwa mara ya kwanza baada ya kupita miezi mingi sana.
 
Leo Phiri kaanza,enhee semeni kabisa nani mwengine hajaanza.
 
Unalionaje kosi mkuu?
Hapo kwa mtazamo wangu, Dejan Georgijevic angeanza, badala ya Banda.

Halafu sijajua kwanini Akpan hayupo hata kwenye benchi. Ngoja Tusubiri Kuona.
 
Kwa kikosi hiki watani lazima mjipigie nyingi sana hawa wachimba kokoto, ila siamini iki kikosi amekipanga zoran hiki kitakuwa ni maelekezo tika bodinga ligi
 
Hapo kwa mtazamo wangu, Dejan Georgijevic angeanza, badala ya Banda.

Halafu sijajua hata Akpan hayupo kwenye benchi. Ngoja Tusubiri Kuona.
Huyo kocha ni bwege hamtaki Akpan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…