Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Gap la point 6 hofu intoka wapi?Walioumia ni mautopoloooo...wapo kileleni ila wanahofu balaa
Uwanaume ni magoli kujiweza kupiga bao nyingi....hilo moja ni probabilitySisi raha yetu goli moja tu ila point 3 na bado tupo kileleni tunapepea tu
Hakuna disrespect hapo, hata Chama iko siku nae atacheza mechi nyingi kumzidi Kibu..Manula tumemsema na si mara ya kwanza, hii ni mara ya pili tena mfululizo
Kama uliona mechi ya mwisho tuliyocheza na Prison alifanya uzembe kama huu na kusababisha tuadhibiwe
Mtu kama Kibu kucheza dakika nyingi kumzidi Chama hiyo ni disrespectful to the fullest
Sasa mnabweka nini humu? 😆 😆Gap la point 6 hofu intoka wapi?
Na NyoniKabisa yaani. Hakuna scientific fact yoyote itakayoweza kueleza Kibu na Kyombo ni wachezaji wa kucheza kikosi cha kwanza Simba.
Muwe mnaandika kwa lugha zenu tu, hiyo lugha ya wakoloni hamuwezi 😂😂Simba is so week
Kwa hiyo goal difference hapo, ndio maana mnaongoza ligi huku mnatetemeka balaa..Hiyo timu inayoongoza ligi ndo naionea wivu sana maana ina miezi zaidi ya 3 haijashuka hata kidogo
Kwakweli hahahaaMuwe mnaandika kwa lugha zenu tu, hiyo lugha ya wakoloni hamuwezi 😂😂
Magoli mengi yamewafikisha wapi mpaka sasa kama mfungaji bora tu mpaka sasa anatokea YangaUwanaume ni magoli kujiweza kupiga bao nyingi....hilo moja ni probability
Ndo kagoma sasa na lolote hamumfanyiKocha kama anataka kubaki afanye kila analoweza aingie kwenye mfumo wa Chama.
Shukuruni mwamba Phiri kaumiaMagoli mengi yamewafikisha wapi mpaka sasa kama mfungaji bora tu mpaka sasa anatokea Yanga
Te lo dije antes de que estés loco 😄😄😄😄😄😄To lo daré aunque no lo quieras.
Mmebaki kuangalia goli difference na assist za chama wakati yanga wao wanasaka pointsKwa hiyo goal difference hapo, ndio maana mnaongoza ligi huku mnatetemeka balaa..
Wakati hajaumia alikuwa anaongoza ufungaji bora?Shukuruni mwamba Phiri kaumia
Still magoli ni mengiiiii daah mpira unanoga sana na magoli
Mpira una amuliwa kwa ubora, yule mwenye kiwango ndiye mwenye nafasi kubwa ya kucheza muda mrefu ndani ya kiwanjaHakuna disrespect hapo, hata Chama iko siku nae atacheza mechi nyingi kumzidi Kibu..
Tatizo lenu mnaichukulia game ya leo kama ndio ilikuwa fainali..
Chama sio mungu wa Simba, Simba ilikuwepo kabla ya Chama, na itaendelea kuwepo hata baada ya Chama...
Huyo ajuza hajapoteza tuu uoniHivi nyie Simba huko Dubai mlienda kujifunza ujinga? FaizaFoxy
Kuna watu hawatakuelewa.Mpira una amuliwa kwa ubora, yule mwenye kiwango ndiye mwenye nafasi kubwa ya kucheza muda mrefu ndani ya kiwanja
Mpira sio draft watu waingie tu kwasababu ya zamu
Hatukatai Chama kutoka, ishu ni anatoka ili aingie nani? na kwa muda gani? huku timu ikiwa katika wakati gani?
Unamtoa Chama ambaye ndio key palyer na muda mfupi katoka ku assist afu unamuweka Kibu?