FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

Manula tumemsema na si mara ya kwanza, hii ni mara ya pili tena mfululizo

Kama uliona mechi ya mwisho tuliyocheza na Prison alifanya uzembe kama huu na kusababisha tuadhibiwe

Mtu kama Kibu kucheza dakika nyingi kumzidi Chama hiyo ni disrespectful to the fullest
Hakuna disrespect hapo, hata Chama iko siku nae atacheza mechi nyingi kumzidi Kibu..

Tatizo lenu mnaichukulia game ya leo kama ndio ilikuwa fainali..

Chama sio mungu wa Simba, Simba ilikuwepo kabla ya Chama, na itaendelea kuwepo hata baada ya Chama...
 
Hakuna disrespect hapo, hata Chama iko siku nae atacheza mechi nyingi kumzidi Kibu..

Tatizo lenu mnaichukulia game ya leo kama ndio ilikuwa fainali..

Chama sio mungu wa Simba, Simba ilikuwepo kabla ya Chama, na itaendelea kuwepo hata baada ya Chama...
Mpira una amuliwa kwa ubora, yule mwenye kiwango ndiye mwenye nafasi kubwa ya kucheza muda mrefu ndani ya kiwanja

Mpira sio draft watu waingie tu kwasababu ya zamu

Hatukatai Chama kutoka, ishu ni anatoka ili aingie nani? na kwa muda gani? huku timu ikiwa katika wakati gani?

Unamtoa Chama ambaye ndio key player na muda mfupi katoka ku assist afu unamuweka Kibu?
 
Mpira una amuliwa kwa ubora, yule mwenye kiwango ndiye mwenye nafasi kubwa ya kucheza muda mrefu ndani ya kiwanja

Mpira sio draft watu waingie tu kwasababu ya zamu

Hatukatai Chama kutoka, ishu ni anatoka ili aingie nani? na kwa muda gani? huku timu ikiwa katika wakati gani?

Unamtoa Chama ambaye ndio key palyer na muda mfupi katoka ku assist afu unamuweka Kibu?
Kuna watu hawatakuelewa.
 
Back
Top Bottom