MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Kocha ame change kwa kuvunja double striker na kutumia mawinga. Hata game ya Yanga vs Simba tuliikamata Yanga kipindi cha kwanza Nabi akaingiza mawinga wawili tukapoteana. Mimi Yanga siogopi mchezaji yeyote namuogopa Nabi kimbinu.
Sasa naona Nabi kapata mtu wa kumchallenge kimbinu. Ingekuwa kocha mwingine tungesubiri hadi Chama afanye miujiza lakini huoni mabadiliko kimbinu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sasa naona Nabi kapata mtu wa kumchallenge kimbinu. Ingekuwa kocha mwingine tungesubiri hadi Chama afanye miujiza lakini huoni mabadiliko kimbinu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app