FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-2 Mbeya City | Uwanja wa Benjamin Mkapa | 18/01/2023

Ishu ya ubishi ni kweli mi ni mbishi tena sana tu hata mtaani niko hivyo, nimejaribu kuishi nje ya mfumo huo nimejikuta nashindwa.

Ebu tuondoke eneo hilo

Mkuu unanipa mashaka kama hizi hoja unazoziweka hapa zinatoka kwa mtu anayeujua mpira

Foolish attempt haiwezi kusawazishwa kwa kuangalia matokeo ya ujumla, foolish attempt inapimwa kwa kuangalia impact ya sub ilivyoingia ilifanya kitu gani kuinufaisha timu?

Kwasababu huo ushindi unaousema umechangiwa na huyo huyo unayefurahia kutolewa, na huyo mchezaji wako Kibu baada ya kuingia alifanya kitu gani cha maana kuisaidia timu i-maintain ushindi au kuiongezea mabao?

Zaidi tunaona ni muendelezo ule uoe ambao tumekuwa tukimuona akicheza hovyo na kuzidi kutuweka kwenye high risk kiasi tutamani mechi iishe ilihali wapinzani wapo outnumber.

Sasa Mkuu kupitia mfano wako wa Mayele hujaona kama unajitukana mwenyewe hapo?

Saizi unaonekana kufurahia Mayele kuendelea kucheza kwasababu yeye ndio mfungaji na ana machango mkubwa ndani ya timu

Wakati huo kwa Chama jambo kama hilo umeliita kuwa ni biashara kichaa

Tukuelewe vipi mzee?

Mpira hautakiwi kumtegemea mtu mmoja lakini ni jambo linalofahamika kuwa mchezaji bora mwenye kiwango bora ndiye mwenye nafasi kubwa ya kucheza muda mwingi kiwanjani kutokana na impact yake.

Kusema namba lazima ziendane na ushirikiano hili ni jambo ambalo wewe mwenyewe unatakiwa kutafakari kabla hujaandika. Kibu tangu ameanza kucheza ni lini uliona ananyimwa ushirikiano kiasi kwamba iwe ndio sababu ya yeye kuwa kwenye kiwango hiki kisicho ridhisha?

Kibu game ya Singida alikosa magoli zaidi ya matatu, zote ni pasi alizokuwa anapewa kupitia ushirikiano na timu mates wenzake

Sasa huo ushirikiano ambao hata mtu akipewa hawezi kuutumia, kuna haja gani ya kuendelea kumtoa mchezaji ambaye ana take advantage kwenye team work na kumuweka mchezaji goi goi ambaye anaigharimu timu?

Sasa mzee mbona unanichanganya??

Chama kukosa mechi tatu ni uzembe wa nani?

Mbona kama una generalize wakati inafahamika tatizo ni nani?

Uliangalia hizo mechi uzembe ulikuwa kwenye nafasi aliyokosekana Chama?

Huo ni uzembe wa mtu mmoja ambaye leo unamtetea ambaue ni Kibu aliyekuwa anakosa magoli ya wazi.
[emoji23][emoji23]nikikumbuka comments zako kule kwenye uzi wa Mayele Vs Kibu na haya maelezo yako nakuona mwanasiasa flani hivi
 
Scars

Najibu comment yako # 743.

Muhimu zaidi umekiri wewe ni mbishi.

Unaposema nafurahia ushindi wa Simba kwa sababu ya kuchangiwa na Chama unakosea...

Unazidi kuthibitisha ulivyo mbishi, kumbuka Simba ilipata magoli mawili kipindi cha pili bila ya uwepo wa Chama..

Jamaa unampenda Chama wako mpaka unapoteza kumbukumbu!.

Halafu mimi sijafurahia popote Mayele kutegemewa na uto, unaonekana hunielewi ninachoandika.

Nimeonesha vile Yanga wanavyomtegemea Mayele matokeo yake kila siku wanashinda 1-0, huku sio kufurahia, wewe ndio unampenda Mayele kwa tabia yako ya kutukuza individual, wangetengeneza timu vizuri bila kumtegemea individual kuna uwezekano wangepata magoli mengi.
 
Hapa Mkuu hukufurahishwa na swala la Mgunda kuchelewa kumfanyia sub Kibu kwa poor perfomance aliyokuwa nayo

View attachment 2488761
Naona unachofanya sasa ni kuhangaika tu, Yes amtoe, kwangu hakuna mchezaji asiyefanyiwa sub, na hata kama Kibu angekuwa anafunga kila siku, bado nisingemtukuza kama unavyofanya wewe kwa Chama...

Mimi ni muumini wa team work, kocha atengeneze chemistry, grow up your mind!
 
Nilisema Kibu hana kiwango wakati wa Mgunda, tumeona makocha wanakuza viwango vya wachezaji [kama unaujua mpira kweli utakuwa shahidi wa hili] kaja kocha mpya ameonesha kumuelewa Kibu, ndio maana huko Dubai alimpa zawadi, apewe muda chini ya kocha mpya tumuone..

Mgunda alikuwa static, ndio maana kila kitu Simba kikabaki static Simba, late sub, kuchelewa kuusoma mchezo....
 
Scars

Najibu comment yako # 743.

Muhimu zaidi umekiri wewe ni mbishi.

Unaposema nafurahia ushindi wa Simba kwa sababu ya kuchangiwa na Chama unakosea...

Unazidi kuthibitisha ulivyo mbishi, kumbuka Simba ilipata magoli mawili kipindi cha pili bila ya uwepo wa Chama..

Jamaa unampenda Chama wako mpaka unapoteza kumbukumbu!.

Halafu mimi sijafurahia popote Mayele kutegemewa na uto, unaonekana hunielewi ninachoandika.

Nimeonesha vile Yanga wanavyomtegemea Mayele matokeo yake kila siku wanashinda 1-0, huku sio kufurahia, wewe ndio unampenda Mayele kwa tabia yako ya kutukuza individual, wangetengeneza timu vizuri bila kumtegemea individual kuna uwezekano wangepata magoli mengi.
Simba kupata magoli mawili baada ya Chama kutoka ni jambo jingine na Simba kupata magoli mawili kutokana na impact ya sub ya Kibu ni jambo jingine

Kibu alikosa nafasi mbili za wazi ambapo angetufanya tutoke na ushindi wa bao 5 lakini haikuwa hivyo.

Kingine mchezaji anapata nafasi ya kucheza muda mwingi ni kutokana na Quality yake uwanjani

Ukisema Yanga wamekuwa wakipata matokeo ya 1-0 kwasababu ya kumtegemea Mayele, hapo utakuwa unakosea.

Kulikuwa na Makambo ambaye alikuwa anacheza nafasi sawa na Mayele, impact yake ilikuwaje pale alipokuwa anapata nafasi?

Na kwenye mpira huwezi kuwa rate wachezaji bila kuangalia individual Quality. Uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ndio factor inayotumika hadi masokoni kutafuta wachezaji wazuri wa kuwasajili.
 
Naona unachofanya sasa ni kuhangaika tu, Yes amtoe, kwangu hakuna mchezaji asiyefanyiwa sub, na hata kama Kibu angekuwa anafunga kila siku, bado nisingemtukuza kama unavyofanya wewe kwa Chama...

Mimi ni muumini wa team work, kocha atengeneze chemistry, grow up your mind!
Mi nakuona kama sigara kali mtu ambaye husimamii maamuzi ya kitu kimoja

Kuna kila dalili za kuja kujipinga tena huko mbeleni kwenye haya haya maneno yako ambayo unayasema leo.

Mimi sikatai Chama kutoka sub, na hili nalirudia tena hapa maana naona kama huelewi.

Unamtoa Chama ili umeweke nani? katika wakati gani? na kwa wakati huo Chama ameonesha kiwango gani? Na anayembadili ana kiwango gani?

Hayo ndio maswali uliyoshindwa kuyajibu ili uelewe hoja yangu.

Team work kwa mchezaji anaye felisha mipango ya team mates wenzake?

Wenzako wanaangaika kutoka na mpira chini wamefika eneo la juu la mwisho wanakupa ufunge we unapaisha? Kuna team work hapo?
 
Nilisema Kibu hana kiwango wakati wa Mgunda, tumeona makocha wanakuza viwango vya wachezaji [kama unaujua mpira kweli utakuwa shahidi wa hili] kaja kocha mpya ameonesha kumuelewa Kibu, ndio maana huko Dubai alimpa zawadi, apewe muda chini ya kocha mpya tumuone..

Mgunda alikuwa static, ndio maana kila kitu Simba kikabaki static Simba, late sub, kuchelewa kuusoma mchezo....
Kwa hiyo saizi kwa Robertinho Kibu ana kiwango?

Kibu wa Mgunda na Kibu wa Robertinho wanatofautiana ninj?
 
Back
Top Bottom