Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ila zinaumaaa yani mnatoka jashoo wanaume mnaambulia bao 2....hahahahHongereni kwa ushindi,ila hutasikia shabiki wa Yanga anazungumzia bahasha ila mngekuwa nyinyi sasa mngeongea mpaka njaa ziwaume.
NB.Hata mshinde 10 mtaendelea kupambana na Azam nafasi ya 2