FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

Hongereni kwa ushindi,ila hutasikia shabiki wa Yanga anazungumzia bahasha ila mngekuwa nyinyi sasa mngeongea mpaka njaa ziwaume.

NB.Hata mshinde 10 mtaendelea kupambana na Azam nafasi ya 2
Ila zinaumaaa yani mnatoka jashoo wanaume mnaambulia bao 2....hahahah
 
Tunachowaomba tu muwatulize wale wazee wa Yanga

Huko baadaye hatutaki kuwasikia wakitishia kuandamana kwa Mama

Hata washinde goli 100! Wasahau kuongoza ligi, au kuchukua ubingwa kwa miaka 10 mfululizo.

Huu ni mwaka wa 2 tu. Bado miaka mingine 8 ya maumivu. Watabadilisha makocha wote, lakini haitasaidia kitu. Wataambulia tu furaha ya muda mfupi.
No comment...
 
Ubingwa hata ukikosekana hauzuii kuburudika. Ikitokea mechi ya mwisho ikawa simba na yanga, yanga mkafungwa za kutosha na ubingwa mkaubeba unadhani mtapata burudani pamoja na kuubeba ubingwa?
Sisi furaha yetu kwa sasa iko kwenye ubingwa tu. Kushinda tumeshazoea.
 
Hakuna kitu kizuri kama kumuona Utopolo akicomment huku kajawa makasiriko kiasi hiki.Huwa inanipa furaha na amani tele.
Wanaumia balaaa na mbaya zaidi magoli 3 ya yule waliomuuuzaa sijui alimaliza mkataba
 
Niletee msimamo wa ligi baada ya mechi ya leo
Hii ilikuwa wiki ya sheria kila mwana Yanga alikuwa na taaluma ya kujua Feisal kakiuka sheria

Zikibaki points 3 kila mmoja atageuka mwanadiplomasia kushauri baadhi ya mambo kutuliza pressure

Tukiwafunga kwenye Derby wote mtageuka ma expert wenye vision ya mpira na kusema mmefungwa kwasababu uongozi wa Yanga ulifanya makosa kumuacha Feisal

Tukiwazidi points wote mtageuka kuwa protestors kwenda kwa mama kulalamikia TFF na waamuzi
 
Hongereni kwa ushindi,ila hutasikia shabiki wa Yanga anazungumzia bahasha ila mngekuwa nyinyi sasa mngeongea mpaka njaa ziwaume.

NB.Hata mshinde 10 mtaendelea kupambana na Azam nafasi ya 2
Hapo kwenye NB ndipo makasiriko yako yote umeyatolea.Pole Uto
 
Mdhamini wa wafungwa aliahidi 30m wakishinda, au 10m wakidroo, au kifurushi cha siku 7 wakushindwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wajela jela wamechagua kifurushi cha wiki hahahaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…