Wewe Mchawi
🤣🤣 Bahati mbaya straiker wenu mzalendo amehamia Fc Lupopo.....ila Tz huwa inapitia vipindi vingi sana vya kuchekeshaNakuambieni sio tu ndoo, hata kiatu kinaenda msimbazi yule Rasta mfanyieni mpango mumtafutie ng'ombe yake
Honestly sioni chembe ya conflicts yeyote kati ya Nabi na Saido nahisi ni ule ujanja ujanja wa nje ya uwanja ndio ilisababisha Saido kuachwaSaido hakuna mshabiki wa Yanga aliyefurahishwa kuondoka,ni yy na bifu na Kocha.....sijamzungumzia Saido kwasababu daraja lake linajulikana.........siyo rahisi mtu kutoka East Africa kucheza Ligue one.......Saido anakitu na atawasaidia sana tu.
NB.Ila huwa nachukizwa mnapomsema Bocco vibaya na leo mnashangilia
Kocha ndiye aliyemkataaHonestly sioni chembe ya conflicts yeyote kati ya Nabi na Saido nahisi ni ule ujanja ujanja wa nje ya uwanja ndio ilisababisha Saido kuachwa
Na kipindi tulicho nacho saizi kinacho trend ni kile cha wale wazee wa Yanga kutangaza mgomo kwenye bidhaa za Azam🤣🤣 Bahati mbaya straiker wenu mzalendo amehamia Fc Lupopo.....ila Tz huwa inapitia vipindi vingi sana vya kuchekesha
SawaMatokeo ni 2-3 Simba lazima abong'oleshwe
Namuombea mechi ngumu mbili afungwe naye aonje machungu ya kupigiwa kelele za kuachwaKocha ndiye aliyemkataa
Kocha ndiye aliyemkataa
KIboko yenu huyo tena mshuka daraja kawaharibia CVHiyo ndiyo mkombozi wenu inabidi muiheshimu sana Ihefu na muipambanie isishuke daraja
Maombi yako ni mfu kabisa 😀Namuombea mechi ngumu mbili afungwe naye aonje machungu ya kupigiwa kelele za kuachwa
Mimi ni shabiki wa Simba Kindaki Ndaki Ila Mgunda Hata Tushinde Mechi zote sio Kocha wa Viwango ya Simba, Timu ni Kubwa kuliko uwezo wake.
Leo Mchezo una jidhihirisha. Hawa Prisons ni Kama Hawako Pungufu yaani Gape la Mtu aliyetolewa kwa Card nyekundu halionekani, na Mgunda Amebaki na Mbinu zile Zile….
Makundi Tutatoboa Kweli? Mo alikuwa sahihi kutuuliza Kama Tunataka Kocha
Pale Ferry kuna Zanzibar One,siyo Azam marine tu mkuuNa kipindi tulicho nacho saizi kinacho trend ni kile cha wale wazee wa Yanga kutangaza mgomo kwenye bidhaa za Azam
Ukimsusa Azam itabidi umfate MO na MO ni muwekezaji wa Simba so mtakuwa mnatu support indirect
Afu sijajua ishu ya Mapinduzi Cup mtapanda mashua au mtaogelea hadi zenji?
Me nauliza tu, huko Yanga kuna hattrick ngapi?
Maana ilikuwa ni tambo yenu wakati fulani..!
Nakuhakikishia hakuna mtaambulia kati ulivyovitajaNakuambieni sio tu ndoo, hata kiatu kinaenda msimbazi yule Rasta mfanyieni mpango mumtafutie ng'ombe yake
Imepotelea wapi wakati hiyo hapo umeiweka mwenyewe?Yanga hua wanaongoza round kwa kwanza" hii kauli mbiu imepotea kabisa
Zinatosha mkuuWakipigwa nane itapendeza zaidi
Sisi Hat-Trick Tunazo Mpk Za CAF Wewe Bwege, Na Kesho Mwamba Atawapigia Tena Simu..
Ile ipo gereji wiki ya pili hii kwani hauna taarifa?Pale Ferry kuna Zanzibar One,siyo Azam marine tu mkuu