Kweli kabisa. Lazima tulambe zile milioni 20 za Silent ocean.Usijali ndugu acha wahangaike mpaka iwe watakavyo ila Mungu ni mwema yuko upande wetu sisi Tanzania Prison
Sent using Jamii Forums mobile app
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC tulia kama unanyolewa [emoji35]Ujinga huu
Na 🐸 wanajongea sasaWakipata goli watatoka huko shimoni walikojichimbia kwa Sasa.
Pole na maumivuWameshalala hawa
Haooo [emoji23]Pole na maumivu
MENEMENE TEKERI NA PERESI Nashukuru wa kunitakia Usiku Mwema, nami narudisha salamu kwako..Ubarikiwe sana.!Ghazwat nakupa hi bro wangu
Mimi nipo hapa nataka kulala nikasema nikutakie usiku mwema ndugu yangu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndivyo ubingwa unarejea tena jangwani hado hado tena kizembe hivyo hivyo [emoji23]Wamefungwa goli la kizembe mno
Ulitaka wafungwe goli la aina gani?Wamefungwa goli la kizembe mno
Kesho sio leoOffside . goli limekataliwa
Kweli kabisa ndiyomaana sisi Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC tulipewa magoli ya offsides dhidi ya Mbeya City na Ruvu Shooting [emoji16]Refa yuko kwenye payroll ya yanga unategemea nin?
Nina uhakika hata mashabiki wenzako wanajisikia aibu kwa hiki ulichokiandika hapa.Refa yuko kwenye payroll ya yanga unategemea nin?
Peleka ushahidi wako TAKUKURU.Nikiwa kama shabiki wa Simba kusema ukweli nateseka sana na haya matokeo ya Yanga. Mechi imeuzwa hii TFF mko wapi?
Mjinga wewe. [emoji848][emoji848][emoji848]Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Ngada FC tulia kama unanyolewa [emoji35]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sio shida yetuRefa yuko kwenye payroll ya yanga unategemea nin?
Upangaji wa matokeo kwenye mechi za Yanga umekithiri ngoja tu ni suala la muda tuPeleka ushahidi wako TAKUKURU.