FT: Ligi Kuu: Geita Gold 0-5 Simba / Uwanja wa CCM Kirumba - Mwanza / 18-12-2022

Sakho Goooooooooooooaaal gooal

Pape Sakho anaweka kambani bao la nne kwa shuti kali la umbali wa mita 37 na kumuacha golikipa Arakaza akigaagaa

Geita Gold 0-4 Simba SC
 
Bahasha imepita kwa kipa. TAKUKURU fanyeni kazi yenu. HAWA jamaa Ni wazuri kwa Mambo hayo.
Walitaka kumhonga Kabwili Vits lakini sijui iliishaje ile kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…