Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamfuturu mtu?Simba kafanya atakachofanya Argentina leo
SIMBA 5 GEITA 0
SIMBA 5 YANGA 0
UKIBISHA NATUMA NA MAGOLI
NIPO IHEFU HUKU
Unaonaje mkatoa wazo mechi ya derby inayofuata, wachezaji wenu kadhaa wacheze rafu za red card ili watolewe nje ili abaki chama pekee ili angalau mbalansi mzani? Maana derby nyingi ambazo chama anacheza huwa Simba ndio wanashinda. Wacheni na Yanga ashinde kwa kuwapunguzia mzani.Chama mmoja ni sawa na Yanga nzima na mashabiki wao
Kubwa kama zipi ebu tuambie au umesahau tobo la okra pasi ya mwisho ilitoka wapi?Wa mechi ndogo kama hizi.
Mbona tulichezaga pungufu na mkashindwa kupata matokeo zaidi tulikuw pungufu na tukatoka nyuma goli 3 na kurudisha zote?Unaonaje mkatoa wazo mechi ya derby inayofuata, wachezaji wenu kadhaa wacheze rafu za red card ili watolewe nje ili abaki chama pekee ili angalau umbalansi mzani? Maana derby nyingi ambazo chama anacheza huwa Simba ndio wanashinda. Wacheni na Yanga ashinde kwa kuwapunguzia mzani.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
La nini maparachichi au migombaHuu uwanja wa Mbeya City mbona kama ni shamba??
yanga wamefurahi record ya mayele kuendelea kubaki juuTimu imeshinda magoli mengi lakini bado mashabiki wamekuwa nashauku na kitu lakini kwa leo hakijatokea. Kutofunga leo kwa Phiri kumefanya mashabiki wasiridhike kivile
Unazungumzia enzi za chama au? Mada inahusu chama mmoja ni sawa na wachezaji wote wa Yanga jumlisha na mashabiki wake.Mbona tulichezaga pungufu na mkashindwa kupata matokeo zaidi tulikuw pungufu na tukatoka nyuma goli 3 na kurudisha zote?
Wanasemaje??Sitaki kuamini maneno nayosikia eti nini?? Eti Barbra ndo nini?? Acheni dada wa watu apumzike kazi ya kuibrand Simba ameifanya vzr...mbona alikuwepo na Ruvu shooting wakala 7?
ETi kuondoka kwa Barbra mambo yameanza kuwa mazuri...ya kweli hayo mkuu?Wanasemaje??
Kayasema nani hayo mashabiki au?ETi kuondoka kwa Barbra mambo yameanza kuwa mazuri...ya kweli hayo mkuu?
Washenzi hao na probably ni UtopwinyoETi kuondoka kwa Barbra mambo yameanza kuwa mazuri...ya kweli hayo mkuu?
Hao ni wapumbavu wachache.Sitaki kuamini maneno nayosikia eti nini?? Eti Barbra ndo nini?? Acheni dada wa watu apumzike kazi ya kuibrand Simba ameifanya vzr...mbona alikuwepo na Ruvu shooting wakala 7?
SureHao ni wapumbavu wachache.
Washenzi hao
Kuna mwana Lunyas mmoja wakati kombe la Dunia linaanza, mwanzoni kabisa alisema.Hao ni wapumbavu wachache.
Hebu rudia tena huu Utopolo wakoKuna timu Moja inaenda kuambulia point 1 kati ya point 6 huko Kanda ya ziwa