FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Bila shaka Simba inahitaji benchi la ufundi lingine. Kuna sehemu ya mafundisho wachezaji hawafundishwi wanapocheza na timu za Mbeya. This is another big mistake 🥲
 
Dakika 90 na nyongeza

Wakati wowote mpira unaisha

Simba kaondoka na point 1 tu leo

Mbeya City 1-1 Simba

FT
 
Management na bodi ya Simba wanaishi kilaghai. Msimu wa pili wanafanya usajili mbovu usio na macho! Wanapata udhamini wanasajili akina Akpan UJINGA!!
 
Simba ya kijinga. Simba ipo kwa sababu ya jina na uwepo wa mashabiki wengi lakini yakipumbavu.
 
90+4' Kuelekea kumalizika kwa mchezo

Naaam mpira umekwishaaaaaa ambapo City na Simba SC wametoshana nguvu kwa kufungana moja kwa moja

FT: Mbeya City 1-1 Simba SC
 
Points 7 tutakuwa tumezidiwa iwapo Yanga akashinda mechi zote

Dirisha dogo tusipokuwa serious....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…