FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Mbeya City wameahindwa kupindua meza kama Saudi Arabia na Japan!
 
Mmepata pa kupumuliaa..leo mgevimbiwa aiseee
 
Kileleni kuna baridi sana, tumekalia kwa dakika kadhaa tumeshindwa, hatuwezi kuteseka kwa baridi
 
Mkuu;. Uko sahihi kabisa , tatizo Simba no uongozi. Sajili gani hizi wanafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…