FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

Hapa ndipo lilipoungua shoka...mpini ukabaki😁😁😁
 

Attachments

  • 8B322409-A16C-426D-BE40-DC5ACD3E6339.jpeg
    77 KB · Views: 2
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Next match na Polisi tz, lazima watoboke aisee.
Mnyama atanyonyolewa mpaka abaki na ngozi kama kiboko.

Hizo points 10 za away zilizobaki simba ataondoka na 3 au 4 tu.
Wakati huo huo yanga akiziweka kwapani ponit zote ktk mechi zote watu watakufa na presure these time
 
Next match na Polisi tz, lazima watoboke aisee.
Mnyama atanyonyolewa mpaka abaki na ngozi kama kiboko.

Hizo points 10 za away zilizobaki simba ataondoka na 3 au 4 tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…