FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Mbeya City 1-1 Simba SC | Uwanja wa Sokoine 23/11/2022

45+1' Kuelekea kuwa mapumziko, city wanapata Free Kick, wanaanza haraka lakini wanadhibitiwa

Naaam mpira ni mapumziko ambapo Simba wapo mbele ya bao moja

HT: Mbeya City 0-1 Simba SC
 
Hii timu ni yakuonea huruma.. hebu oneni wachezaji Wao wakutumainiwa wa first eleven Mkude, Onyango, Mzamiru, boco.. .....
kama mambo yakiwa magumu Kwa Hawa walioanza hebu tazama walioko hapo benchi wakuja kuokoa jahazi utacheka sana..
Eti Kuna Kibu, akpan,Nyoni,Gadiel,ouatara,kyombo,
Kennedy,...

Kweli Hawa ndugu zetu tuwaombee angalau wapate akili za kufanya usajili mzuri... Wamejaza lundo la wachezaji takataka ambao hata hawawezi pata namba kmc/kagera sugar/singida big stars
Wee ndo ujionee huruma kutwa kuiwaza Simba. Sisi wenyewe tuna raha na timu yetu mbonaa
 
Nimeamini anibiteni hawana furaha mpk Simba ishuke daraja ila hivi hivi wanapata tabuu sanaa
 
NAIANGALIA SIMBA YANGU.

INAKATISHA TAMAA.

TIMU INA WACHEZAJI WADOGO MNO.
QUALITY IPO CHINI SANA.

HATA PASI TATU HAZIFIKI.
PAPATU PAPATU TU.
Waaambie mbumbumbu wenzako labda watakuelewa...
Timu haiwezi piga pasi hata 5 tu eti Kuna vibwengo wanakuambia Simba tamu[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom