FT: Ligi Kuu Tanzania Bara | Polisi Tanzania 1-3 Simba SC | Uwanja wa D'eL Ushirika 27/11/2022

Nawakumbusha tu kuwa Mayele ana mechi mbili za viporo kuzidi kujikita kileleni mwa ufungaji Bora.
 
88' Ametoka Bocco na ameingia Kibu upande wa Simba
 
90' [emoji460] Goooooooooooooaaal gooal Polisi wanapata bao la kufutia machozi kupitia kwa Zubeir Khamis

Polisi Tanzania 1-3 Simba SC
 
Nawakumbusha tu kuwa pamoja na kucheza mechi mbili zaidi, Yanga bado anawaongoza kwenye msimamo wa ligi na Mayele anawaongoza kwenye chati ya ufungaji magoli
 
Mbona una hasira sana chura?? πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† ww si ndo upo kileleni mbona unapanick hata ukisikia honi hahahahaha
 
Mbona una hasira sana chura?? [emoji38] [emoji38] [emoji38] ww si ndo upo kileleni mbona unapanick hata ukisikia honi hahahahaha
We kolo hebu nitokeee.... Mayele anaongoza na Yanga bado anawaongoza.. una jingine???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…