Kwani timi kiwa na wachezaji wabovu sio kawaida kwenye mpira? Why uone aibu kukubali kua mna yanga mbovu?
Ukitumia transitin kuficha ubovu wa timu yako, utajikuta unashindwa kuisema lipuli kua ni mbovu maana naye atatumia upenyo sa transiting kuficha ubovu wake
Mna yanga mbovu hilo halipingiki, hakuna excuse yeyote yenye mantiki mnayoweza mkaitoa ika make sense
Kina kalinyo na sappng mliwabeba juu juu na mlikiri kua mmekamilika na nugaz akawaahidi kua msipo chukua ubingwa mumuulize, lakini baada ya kukosa meanza kujindefend kua ni transiting season. Ebu acheni janja janja sajilini wachezaji wazuri, mpira mguuni sio mdomoni na mkikaa vibaya hata nafasi ya upili mnaweza msiambulie