FT: Ligi Kuu Tanzania Bara: Yanga 1- 0 Geita Gold

Ungejiuliza kwanza amatengeneza nafasi ngapi kwa wengine hata kabla ya yeye kutengenezewa ukilinganisha na namba aliyo chezeshwa.
 
Kiukweli Simba na Yanga bado kuonesha usindi mzuri. Wameanza na timu ndogo tu goli Moja Moja. Siku wakikutana na miamba itakuwaje? Nilitegemea hizi timu ndogo zilambwe hata goli 5 na Simba na Yanga. Ushindi mwembba huo kwa Simba na Yanga.
 
Kiukweli Simba na Yanga bado kuonesha usindi mzuri. Wameanza na timu ndogo tu goli Moja Moja. Siku wakikutana na miamba itakuwaje? Nilitegemea hizi timu ndogo zilambwe hata goli 5 na Simba na Yanga. Ushindi mwembba huo kwa Simba na Yanga.
Hio miamba ni timu zipi? Azam mwenye point moja tu? Au una maanisha timu zipi hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…