SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Umeaminishwa na nani? Na kwann uaminishwe wakati una macho na mpira unachezwa mbele za watu, sharti lako kutazama? Uaminishwe huna akili?Suala sio kufungwa,, timu inacheza kama tulivyoaminishwa na viongozi/wachambuzi uchwara?,, kwa pira hili la leo we umeona kuna tofauti gani kati ya yanga hii inayopambwa na gazeti la mwananchi na friends rangers ya kagera mikoroshini
Niwaulize kwani mimi sijatazama mpira? Au wadhani kila mtu ni fuata upepo like you.Kawaulize wenzio wanaotoa povu huko pamoja na kupata ushindi
Haipatikani tena hiyoMkuu nitakucheki kwenye ile namba yako inayoishia na ..123
Kwa kiwango cha timu yako wewe, mpo wapi saa hii?Kwa kiwango cha timu yako hiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmmhhhmmmmmmmmm hamna maajabu ni kile kile cha miaka 4 iliyopita hakuna maajabu
Yako imekuwa bora?Wapo busy kushadadia simba, ameuza miq na chama...
Wanadhani team yao ndio inakua bora.
Tupo kule club bingwa Africa ww si ushashindwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kiwango cha timu yako wewe, mpo wapi saa hii?
Daah poleni sana bora sisi tunaye mmoja ila nyie na yacouba naye naskia kaambukizwa na makambo sijui mna dili vipi na huo msalaKama Mugalu
Mzee, Aucho ni kitu kingine. Untouchable. Achilia mbali LITOMBO 'the versatile player'.Daah poleni sana bora sisi tunaye mmoja ila nyie na yacouba naye naskia kaambukizwa na makambo sijui mna dili vipi na huo msala
Vipi kiwango cha Aucho ni kile alichokionesha juzi au karudi to the default kama tunavyomjua?
Yanga tupo vizuri....Yako imekuwa bora?
Huko klabu bingwa ushacheza? Au unajitangulizia mawazo?Tupo kule club bingwa Africa ww si ushashindwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jibu. Hiyo yako ndo imekuwa bora? Au bingwa wa kuona vibanzi kwenye macho ya wengine?Yanga tupo vizuri....
jionee mwenyewe hapaYako imekuwa bora?
Mzee hatujacheza ila tupo kwenye nafasi za wakubwa na sisi wakubwa hatushindwi upo bado kunibishia.. ?Huko klabu bingwa ushacheza? Au unajitangulizia mawazo?
Simba hatuna cha kuprove tena kwenye ligi, mara nne mfululizo....Jibu. Hiyo yako ndo imekuwa bora? Au bingwa wa kuona vibanzi kwenye macho ya wengine?
[emoji23][emoji23] hiyo timu mpya unayoitengeneza inakamilika lini? Maana naona ushatengeneza 'an excusing umbrella', ndo hii inaenda kwenye champions league au una nyingine mzee? Na hiyo timu unaitengenezea wapi kama sio huku kwenye league?Simba hatuna cha kuprove tena kwenye ligi, mara nne mfululizo....
Ubingwa unachosha sasa, tunatengeneza team mpya kwa ajili ya champions league.
Wewe ndio unapaswa kuwaza ubingwa wa ligi.
Shida ni kwamba you dwell in the past paradise! Upo hapo sababu ya msimu ulopita, na sasa you are nothing compared to last season mzee. Au unadhani wewe timu imekaa vilevile? Ngoja inyeshe ujue inavuja wapi..Mzee hatujacheza ila tupo kwenye nafasi za wakubwa na sisi wakubwa hatushindwi upo bado kunibishia.. ?
Nilishaachaga kubishana na haya makolo. Hawana point zaidi ya kulazimisha. Wanageuza geuza tu maneno. Mara wanaonewa,mara wachezaji wao wamepaniwa kuumizwa. Visingizio kibao.Umeaminishwa na nani? Na kwann uaminishwe wakati una macho na mpira unachezwa mbele za watu, sharti lako kutazama? Uaminishwe huna akili?
Simply, hutazami mpira. Unatazama livescore au unasimuliwa then unakuja kumwaga utter shits hapa.
Imeshakamilika, ...hujaiona jana.[emoji23][emoji23] hiyo timu mpya unayoitengeneza inakamilika lini? Maana naona ushatengeneza 'an excusing umbrella', ndo hii inaenda kwenye champions league au una nyingine mzee? Na hiyo timu unaitengenezea wapi kama sio huku kwenye league?