mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
- Thread starter
-
- #61
Hili ni tawi lenu bwana usije kusema na lenyewe limekubali kuchukua bahasha za utopolo[emoji1][emoji1]Hawa Namungo sehemu ya Kuondosha Mpira wao wanawapa advante Yanga ya Kurusha
Mazoez ndo silaha ya mafanikioMfupi lkn karuka huyo
Hapo nadhani unazungumzia kwa upande wa Yanga mkuuTukisema tuzungumzie mchezaji bora msimu huu mpaka sasa kwagu ni Dickson Job.
Sio kwa Yanga bali ligi nzima,tatizo mpira wengi tunatizama wafungaji na viungo, ila tukisema tuchambue kitakwimu Dick Yupo vizuri sana.Hapo nadhani unazungumzia kwa upande wa Yanga mkuu
Wananchi [emoji617] huwa wanafeli hapo tu. Kwenye mambo kama haya Simba mmetuzidi, yaani hata kuanzisha hizi nyuzi za live updates wakati mwingine Huwa mnatuanzishia kutokana na ubaridi wetu[emoji23][emoji23]Tokeni ndani sasa
Sasa timu inashinda , inaongoza ligi tuna wasi wasi gani kushida mitandaoni?Kwanini Mechi za Yanga Uzi huwa Unapoa Sanaaa??
Hamna Mashabiki wa Yanga? Lakini Kwenye uzi wa Simba Huwa ni wengi
Simba huwa wanazianzisha, ila Yanga wakipata matokeo, mwanzisha uzi hutelekeza uzi wake na kukimbilia maporini.Wananchi [emoji617] huwa wanafeli hapo tu. Kwenye mambo kama haya Simba mmetuzidi, yaani hata kuanzisha hizi nyuzi za live updates wakati mwingine Huwa mnatuanzishia kutokana na ubaridi wetu[emoji23][emoji23]
Ila kwa game za simba huwa mna mudaSasa timu inashinda , inaongoza ligi tuna wasi wasi gani kushida mitandaoni?
Hatuwezi kufanana kila kituSimba huwa wanazianzisha, ila Yanga wakipata matokeo, mwanzisha uzi hutelekeza uzi wake na kukimbilia maporini.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app