FT: Ligi ya NBC: KMC 0 vs 1 Yanga S.C: Uwanja wa Benjamin Mkapa, 22/02/2023

FT: Ligi ya NBC: KMC 0 vs 1 Yanga S.C: Uwanja wa Benjamin Mkapa, 22/02/2023

Hata mbeya kwanza wakicheza na Ihefu, thread haiwezi kupoa kama hivi
 
Yanga wanacheza kichovu sana, sijui nao wana plan ya kushona sare ya kwendea huko Mali[emoji848]
 
Mechi gani sasa hii imepoa kama uji wa mtoto

Bora niingie Netflix
 
Huyu Kipa anadaka kwa hisani ya bahasha

Ovyo kabisa
 

Attachments

  • IMG_20230222_164128_938.jpg
    IMG_20230222_164128_938.jpg
    46.2 KB · Views: 3
Mpira ni mchezo wa makosa ila makosa yakifanywa dhidi ya Yanga ni bahasha. Ila makosa yakifanywa dhidi timu yenu ya Simba hamuimbi wimbo wa bahasha. Jana mchezaji wa Azam kafanya kosa la kupiga kichwa mpira golini kwake na kuingia wavuni kulikuwa na bahasha?
Mfa maji hakosi kutapa tapa, usipoteze muda kujibizana na pimbi.
 
Back
Top Bottom