FT: Ligi ya NBC: KMC 0 vs 1 Yanga S.C: Uwanja wa Benjamin Mkapa, 22/02/2023

Acha kubwabwaja wewe uto
huoni mimi nimekuja na picha ya ushahidi.

Simba tunatumia uwezo wetu ndio maana tunakamiwa na vitimu vidogo sio bahasha na rubber band
 
Huyu Kipa anadaka kwa hisani ya bahasha

Ovyo kabisaView attachment 2526367
Simba mmekuwa wapumbavu kabisa 😅.. Nani alikwambia kila timu inayofungwa na yanga mchezajj anachukua bahasha?. Mbona mechi zenu hamsemi kuchukua hizo bahasha?, Kuna nyakati msikomaze mishipa ya kunduziii zenu kwa vitu vilivyo wazi... Jinga waheedi.
 
Acha kubwabwaja wewe uto
huoni mimi nimekuja na picha ya ushahidi.

Simba tunatumia uwezo wetu ndio maana tunakamiwa na vitimu vidogo sio bahasha na rubber band
Kwa hiyo kwa akili zako za kuvukia barabara, hiyo picha ndio ushahidi wa Yanga kushinda kwa bahasha? Kama ni mzazi basi wanao wana mtihani wa kumpata mzazi wa dizaini yako. Haya tupe basi na ushahidi wa bahasha za TP Mazembe, Monastir, Azam na nyie wenyewe Simba tulizowapa ili Yanga ipate matokeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…