Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walipopigwa mkono?Analia kama Kapombwe na Zimbwe walivyokuwa wanalia siku ile.
FRESHMAN Nabii uchwara imemuumiza sana hii, alidai Mamelodi Sundowns hawana jeuri ya kuwafunga Wydad Casablanca kisa mwaka waliwatoa Mamelodi Sundowns kwenye nusu fainali za klabu bingwa Africa 2022/2023 [emoji28]Mamelodiiiiii bingwaaaaaa
Good jobHatimaye...
kupugw mkono sio kitu kirahisi aseeWalipopigwa mkono?
maan n mech ya mwisho kadi hazina kaz tenaHiki wanachofanya mamelord nimekielewa. Ukila njano, unaacha mpira anaenda mwingine. Naye akila njano anaacha[emoji1787][emoji1787]
Na ndiye mmiliki wa timu, wamemtia aibu kwa utoto waliofanya. Yaani wamefanya zaidi ya waarabu wanavyopoteza muda.Kiongozi wa CAF kasikitika kweli ila ndo michezo ya waarabu.
FT 2-0
Wamekoma aiseeMwarabu leo kaonja ladha ya kupotezewa muda.
Wamezoweaga kufanyia wenzao leo yamewarudi.
Hata kama n mm ningepotez mda saanNa ndiye mmiliki wa timu, wamemtia aibu kwa utoto waliofanya. Yaani wamefanya zaidi ya waarabu wanavyopoteza muda.
Wamelipiza kisasi cha kutolewa ½ fainali msimu ule wa juzi CAF CLNa ndiye mmiliki wa timu, wamemtia aibu kwa utoto waliofanya. Yaani wamefanya zaidi ya waarabu wanavyopoteza muda.
Huwa hawachelewi kwenda kulia lia. Inatakiwa na sisi kuwe na mafunzo ya figisu maana wamezidi uhuni.Wamekoma aisee
ninavyowajua hawachelewi kwenda kutoa mapovu kule CAF
Hao ilikua ni maumivu huku ni furaha banduguAnalia kama Kapombwe na Zimbwe walivyokuwa wanalia siku ile.
Kweli kabisa wamekoma haswa.Wamekoma aisee
ninavyowajua hawachelewi kwenda kutoa mapovu kule CAF
Na Timu za Tanzania siku zikiuelewa huo mchezo mbona tutafika mbali kila siku.Wamekoma aisee
ninavyowajua hawachelewi kwenda kutoa mapovu kule CAF
Utawala wa waarabu utaendelea kuwepo sana tu as long as wao ndio wataendelea kuwa na miundo Bora, walimu walio Bora kuanzia ngazi za chini kabisa, uwekezaji ulio Bora na fedha nyingi na mashindano yalio Bora ya kuwajenga yanayokutanisha timu nyingi zilizo Bora(hapa naongelea mashindano kama ARAB CLUB CHAMPIONS CUP, KINGS CUP, UNAF CLUBS CUP na MAGHREB CUP WINNERS) haya ni mashindano yanayozikutanisha timu za huko huko uarabuni ambazo nyingi zinalingana nguvu kiuwezo na kipesa.Mamelodi nipigie hao wajukuu wa CAF
Utawala wa waarabu inabidi tuuondoe
Mungu wao hakuwa pamoja naoSafi sana Sundowns Leo waarabu wameona Faida ya Ushenzi wao wa Kupoteza Muda.