Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga anakuja kwa kasiUtawala wa waarabu utaendelea kuwepo sana tu as long as wao ndio wataendelea kuwa na miundo Bora, walimu walio Bora kuanzia ngazi za chini kabisa, uwekezaji ulio Bora na fedha nyingi na mashindano yalio Bora ya kuwajenga yanayokutanisha timu nyingi zilizo Bora(hapa naongelea mashindano kama ARAB CLUB CHAMPIONS CUP, KINGS CUP, UNAF CLUBS CUP na MAGHREB CUP WINNERS) haya ni mashindano yanayozikutanisha timu za huko huko uarabuni ambazo nyingi zinalingana nguvu kiuwezo na kipesa.
Tofauti kabisa na huku subsaharan ambako hatuna miundo mbinu, Wala fedha za kutosha, Wala misingi thabiti, Wala mashindano ya kutujengea timu ziwe imara.
Hivyo basi, kwa maelezo hayo hizi timu za waarabu zitaendelea kulitawala hili Sola la afrika sana tu... Na mchawi wao kutoka huku kweusini atakuwa ni Mamelod sundown peke yake. Na ikitokea Mamelod ametoka mapema basi fainali za CAF CHAMPIONS LEAGUE watakuwa wanacheza wao.
hamjaridhika na sherehe zenu ...naanza kuamini kwamba Simba bado ni timu kubwa kias kwamba inaongelewa karibu wiki nzima .Walipopigwa mkono?
At least tutajifariji na hikiViongozi wa utopolo wapo tu jukwaani na mashabiki, Try again wa simba anachukua tuzo [emoji16]
Yanga ya wapi acheni kujifananisha na wakubwa wa maendeleo pangeni mipango mfike hizo levelYanga anakuja kwa kasi
HoyeeMakolo oyeeeee
Cha msingi hawajachukua ubingwa mbali na uwekezaji waoUtawala wa waarabu utaendelea kuwepo sana tu as long as wao ndio wataendelea kuwa na miundo Bora, walimu walio Bora kuanzia ngazi za chini kabisa, uwekezaji ulio Bora na fedha nyingi na mashindano yalio Bora ya kuwajenga yanayokutanisha timu nyingi zilizo Bora(hapa naongelea mashindano kama ARAB CLUB CHAMPIONS CUP, KINGS CUP, UNAF CLUBS CUP na MAGHREB CUP WINNERS) haya ni mashindano yanayozikutanisha timu za huko huko uarabuni ambazo nyingi zinalingana nguvu kiuwezo na kipesa.
Tofauti kabisa na huku subsaharan ambako hatuna miundo mbinu, Wala fedha za kutosha, Wala misingi thabiti, Wala mashindano ya kutujengea timu ziwe imara.
Hivyo basi, kwa maelezo hayo hizi timu za waarabu zitaendelea kulitawala hili Sola la afrika sana tu... Na mchawi wao kutoka huku kweusini atakuwa ni Mamelod sundown peke yake. Na ikitokea Mamelod ametoka mapema basi fainali za CAF CHAMPIONS LEAGUE watakuwa wanacheza wao.
Ndo maana tutakupiga 5Yanga ya watu acheni kujifananisha na wakubwa wa maendeleo pangeni mipango mfike hizo level
🤔🤔🤔kweli ninyi hovyo hivi hukumbuki kipigo tulichowatembezea au umejitoa ufahamu mkuuNdo maana tutakupiga 5
Propaganda na figisu figisu za hapa na pale hazitoshi kufanya wewe upate mafanikioNa Timu za Tanzania siku zikiuelewa huo mchezo mbona tutafika mbali kila siku.
Ahaaaaaa🤔🤔🤔kweli ninyi hovyo hivi hukumbuki kipigo tulichowatembezea au umejitoa ufahamu mkuu
BEst fans wa mashindanoTry again amechukua tuzo kwa ajiri gani?
Hilo ndio la msingiCha msingi hawajachukua ubingwa mbali na uwekezaji wao
KmmkBEst fans wa mashindano
🤣🤣🤣Supu sijanywa leo tu ni kila siku sasa wew jifurahishe na hiyo supu ya mara moja kwa mwakaAhaaaaaa
Umekunywa supu leo?
Waambie Waambie wabomoe na kile kijumba chao cha kufugia mifugo ya Bashite pale jangwani ndipo wajifananishe na MamelodiYanga ya wapi acheni kujifananisha na wakubwa wa maendeleo pangeni mipango mfike hizo level
Njaa inakusumbua njoo ule mabaki ya supuYanga ya wapi acheni kujifananisha na wakubwa wa maendeleo pangeni mipango mfike hizo level
Kidogo tuWYDAD bingwa..
Nimashindano ya kupiga hela tu za wadhaminiYanga katika safari yetu ya kufika fainali ya caf champions league msimu huu.
Tunapiga wote walioshiriki bonanza la kusema washiriki wote wanaanzia robo.
Ujinga mtupu ni Mashindano gani yanaanziaga robo fainali?