FT: Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad (Agg: 3-2)AC | African Football League Final | 2nd Leg | Loftus Versfeld Stadium | 12.11.2023. Mamelodi bingwa

FT: Mamelodi Sundowns 2-0 Wydad (Agg: 3-2)AC | African Football League Final | 2nd Leg | Loftus Versfeld Stadium | 12.11.2023. Mamelodi bingwa

Utawala wa waarabu utaendelea kuwepo sana tu as long as wao ndio wataendelea kuwa na miundo Bora, walimu walio Bora kuanzia ngazi za chini kabisa, uwekezaji ulio Bora na fedha nyingi na mashindano yalio Bora ya kuwajenga yanayokutanisha timu nyingi zilizo Bora(hapa naongelea mashindano kama ARAB CLUB CHAMPIONS CUP, KINGS CUP, UNAF CLUBS CUP na MAGHREB CUP WINNERS) haya ni mashindano yanayozikutanisha timu za huko huko uarabuni ambazo nyingi zinalingana nguvu kiuwezo na kipesa.

Tofauti kabisa na huku subsaharan ambako hatuna miundo mbinu, Wala fedha za kutosha, Wala misingi thabiti, Wala mashindano ya kutujengea timu ziwe imara.

Hivyo basi, kwa maelezo hayo hizi timu za waarabu zitaendelea kulitawala hili Sola la afrika sana tu... Na mchawi wao kutoka huku kweusini atakuwa ni Mamelod sundown peke yake. Na ikitokea Mamelod ametoka mapema basi fainali za CAF CHAMPIONS LEAGUE watakuwa wanacheza wao.
Yanga anakuja kwa kasi
 
Utawala wa waarabu utaendelea kuwepo sana tu as long as wao ndio wataendelea kuwa na miundo Bora, walimu walio Bora kuanzia ngazi za chini kabisa, uwekezaji ulio Bora na fedha nyingi na mashindano yalio Bora ya kuwajenga yanayokutanisha timu nyingi zilizo Bora(hapa naongelea mashindano kama ARAB CLUB CHAMPIONS CUP, KINGS CUP, UNAF CLUBS CUP na MAGHREB CUP WINNERS) haya ni mashindano yanayozikutanisha timu za huko huko uarabuni ambazo nyingi zinalingana nguvu kiuwezo na kipesa.

Tofauti kabisa na huku subsaharan ambako hatuna miundo mbinu, Wala fedha za kutosha, Wala misingi thabiti, Wala mashindano ya kutujengea timu ziwe imara.

Hivyo basi, kwa maelezo hayo hizi timu za waarabu zitaendelea kulitawala hili Sola la afrika sana tu... Na mchawi wao kutoka huku kweusini atakuwa ni Mamelod sundown peke yake. Na ikitokea Mamelod ametoka mapema basi fainali za CAF CHAMPIONS LEAGUE watakuwa wanacheza wao.
Cha msingi hawajachukua ubingwa mbali na uwekezaji wao
 
Back
Top Bottom