Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nawe umeshirikiNjaa inakusumbua njoo ule mabaki ya supu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe umeshirikiNjaa inakusumbua njoo ule mabaki ya supu
kwa hiyo mkuu mimi wakula mabaki inaonyesha una ka uchoyo na chuki flani moyoni nahisi utakuwa mzazi wa hovyo kuwahi kutokeaNjaa inakusumbua njoo ule mabaki ya supu
Sawa mkuuWaambie Waambie wabomoe na kile kijumba chao cha kufugia mifugo ya Bashite pale jangwani ndipo wajifananishe na Mamelodi
Azam sportsMpira ulikuwa unaoneshwa channel gani wakuu
Aahaaaanatabir mamelod atashinda 2-0
Naamini umenielewa kabisa maelezo yangu, kwa ufupi michuano yoyote ya afrika timu zao ndio Zina nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa... Ni mara moja moja sana inatokea Wana ukosa ubingwa kama hivi.Cha msingi hawajachukua ubingwa mbali na uwekezaji wao
Yanga tayari kapata njia, sasa wawekezaji wafungue wallet na pia waandae na development structure kwa ajili ya future ya club... Maana hii dynasty ya waarabu imeanzia hukoYanga anakuja kwa kasi
Nini tena mkuu?Kmmk
Hauwajui waarabu vizuri wewe katika kupoteza muda,Leo wamepitia maumivu ambayo wenzao wanapitiaNa ndiye mmiliki wa timu, wamemtia aibu kwa utoto waliofanya. Yaani wamefanya zaidi ya waarabu wanavyopoteza muda.
Hiyo mipango unataka tupange mara ngapi?Yanga ya wapi acheni kujifananisha na wakubwa wa maendeleo pangeni mipango mfike hizo level
Mungu wao hakuwa pamoja nao
Kwani mwekezaji ndiye aliyekuwa mlinda mlango?Nimepita huko kwenye Page yao ya Club instagram Nmekuta wanamtukana Muwekezaji wao aisee🤣😂
Kwani mwekezaji ndiye aliyekuwa mlinda mlango?