FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpg
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Hivi kipa wa Simba Abelli aliyetoka timu ya Prison yuko wapi ?
Hilo galasa lishamloga mwenzake?
Kama Manyula?
 
Udugu leo ulikuwa wapi?? Kuna sehemu nilipita nikaona wanakuteta [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule mie nilipita mda mbona, simuoni wa kuniteta humu ndanii.
 
Mlitumia sijui mashetani gani mara yawazimishe mara yawape maelekezo mpake blitch.
Ukiona unaanza kuamini tulitumia mshetani, maana yake mnatuona tuna uwezo walionao mashetani..!! Kwamba kiwango chetu kipo juu sana kuliko nyie.
 
Ali salum alikosea angesogea mbele kidogo angedaka penati zote Kama kule kwa Tatu mjini Tanga 🤓
 
Ukiona unaanza kuamini tulitumia mshetani, maana yake mnatuona tuna uwezo walionao mashetani..!! Kwamba kiwango chetu kipo juu sana kuliko nyie.
Subiri siku yaanze kutaka mambo ya ajabu ajabu.
 
Kwa hiyo hii n mechi ya tatu simba wanapotez mfululizo
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga kichwani zinapungua Lazima.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Kwanini usiende majukwaa mengine kuliko kushinda jukwaa la wapumbavu?
Nafikiri tatizo la ajira linakusumbua
 
Sisi mashabiki lia lia wa [emoji32]
Mwiko Nyuma FC
Malalamiko SC
 
Back
Top Bottom