Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio mnamsifiaga huyo? Poleni rudini kwenye ligi kuu tuHuyo kipa nae anadka upande huo huo hakuona kuwa wameshamchora?
Naona katoa Uzi kwemye Live ulikuwa umeandikwa Simba 5 na Mashujaa 6 FT..Kwani moderator naye alikuwa anacheza?🤣🤣
Naona kaamua kwakweli huyo...Si ndio mnamsifiaga huyo? Poleni rudini kwenye ligi kuu tu
IEe mm niko live mbona?? Tumewaachia kombe mshindwe wenyeweMashujaa wamepita kwa mikwaju ya Penati Ubuntu Botho
Huu msimu burudani ni moja tu. Kuwatazama vyura wakikabidhiwa kombe la kufa kiume kwa malalamiko mno. Ngoja nikatazame tena ile mechi.Sasa ngoja tubaki wapenzi watazamaji...
Ashatoka KolokwiyoooKwahyo akipigwa mtu leo anatoka...
Wakati mmetolewa na MashujaaIEe mm niko live mbona?? Tumewaachia kombe mshindwe wenyewe
Ukiumizwa hata mtu akisema ukweli kuhusu kuumizwa kwako unaumia zaidi🤣🤣🤣Naona katoa Uzi kwemye Live ulikuwa umeandikwa Simba 5 na Mashujaa 6 FT..
Katoa hiyo mada na kaandika Live simba imetolewa 😅😅
Yani ndo kero kwao zitazidi maana hatuna cha kupoteza mechi zao tutawapa kampani kuanzia dkk ya kwanza..Huu msimu burudani ni moja tu. Kuwatazama vyura wakikabidhiwa kombe la kufa kiume kwa malalamiko mno. Ngoja nikatazame tena ile mechi.
Endeleeni kujiandaaTunajiandaa na mechi ya Tarehe 20 ya Uto masandawana
Kwani wao sio wachezaji au ni masokwe tulikua tunacheza naoWakati mmetolewa na Mashujaa
Upo uwezekano mwakani msishiriki international games.Tunajiaandaa na Tarehe 20 mkuu Mechi ya Utomasandawana
Hasira za niniKenge mwenyewe...unaumwa nini? Chura mwenye mayai wee