Wametukimbia.Tutaonana msimu ujao...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametukimbia.Tutaonana msimu ujao...
Wazee wa mteremko hongereni kwa kufuzu robo fainal ya crdb federation cupMlimtuma aumize wachezaji wetu ili mpate mteremko
Umesoma wapi hii historia yako mbona haifundishwi shuleni!.Wakati Yanga tunawaokoa msishuke daraja ulikuwa hujazaliwa?
Bado hamjasema😂Simba ni kama wanahujumiana hivi. Kuna jambo haliko sawa ndani ya timu, na hawataki kulisema
Uchovu wa safariUbuntu bothooooo [emoji28][emoji28][emoji28]... Yule kisauti sijui atayadanganyaje haya mazuzu ya Simba.
Masandawana 😅Ubuntu bothooooo 😅😅😅... Yule kisauti sijui atayadanganyaje haya mazuzu ya Simba.
Na ile 1-5 Musonda alikuna kwenye dakika hizo hizo.Dk ya 5 Simba huwa wanatoa utelezi pyeeeew
Aly Ahly dk 5
Mashujaa dk 5
.... Kipele Cha Simba kipo dk ya 5 na trh 20 tutakikunia dk hizihizi[emoji28][emoji1787][emoji118]
Kombe la uji labda.Yanga Tunamkanda na Azam anakandwa pia na Tunachukua Kombe..
Na hatutafuti ushindi wa Pili
Hahahahaha ila wee analyse una unakera umma wa koloizdadaHivi kuna kombe lolote ambalo kolozidadi wana matumaini nalo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dr unakera snaUpo uwezekano mwakani msishiriki international games.
Nafasi ya Kwanza hii mmeitema, je kwenye ligi mtaweza kushindana na Azam mpate nafasi ya Pili?
Mna mechi na Yanga na mna mechi na Azam, hapo ndio akili zitawarudia, wakati mnashabikia Mamelodi tuliwakumbusha mfocus kwenye timu yenu hamkashupaza shingo, haya Kiko wapi sasa?
Maskini dad kalpana umepambna mwanzo mwisho kuitetea koloizdadiKwani wao sio wachezaji au ni masokwe tulikua tunacheza nao
Walikwenda Kigoma na nywele kichwani sasa wanarudi Msimbazi na vipara!😭😵🤭Nasikia timu yako imetoka kiume huko Kigoma. Sasa mtawekeza nguvu zote kuchukua ubingwa wa ligi kuu, au kale ka ngao ka jamii kamewatosha?