mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Azam ni MY wa watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa mabwana sijui wana shida gani aisee. Watake nini tajiri asitoe.Ni kweli,Mwaka Jana walikua Bora sana kuzidi Mwaka huu. Azam wanaresource uwanja,pesa Ipo haingii akilini kulizika kwa mwenendo huuu... Walipaswa kua title contender, CL wangefika angalau second stage.
IHawa mabwana sijui wana shida gani aisee. Watake nini tajiri asitoe.
Msimu huu afisa habari wao alisema walisajiri mpaka mpunga ukabaki wakaurudisha kwa tajiri, kama pesa ya usajiri ipo, changamoto ndogondogo hawana na hawana presha kubwa ya mashabiki.
Kipi kinawafelisha hawa watu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna yule msemaji wao Hashim Imbwe ni kama amekulia kwa P Diddy.Kajinga kajinga ni kashabiki ka nyuma mwiko na kila kakisema utadhani kamechukuliwa bwana
Kanapenda kuisema simba wakati simba sio matawi yao.Kuna yule msemaji wao Hashim Imbwe ni kama amekulia kwa P Diddy.Kajinga kajinga ni kashabiki ka nyuma mwiko na kila kakisema utadhani kamechukuliwa bwana