Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AnajuaSadun
Azam ni man utd ya bongo, sio wa kuwekea hela hao.Hela yangu imekwenda
Ila ka maintain angalau kwenye top 3 na msimu uliopita kaonja top 2 mnyonge mnyongeni haki yake apewe sio rahisi kuwaondoa Simba na yanga hapo juu acha aendelee kujitafutaPoor leadership,mwenye maamuzi ndani ya Azam uwezo wake ni mdogo Sanaa kiuongozi. Timu Haina malengo inaleta wachezaji kwa kuzoooa,Ali ya upapanaji haipo!! Imagine Baki zake zile hovyo sana, washambuliaji hovyo kabisa angalau uhai ni kati.
Lazima huyu kocha wao apigwe ban ya kumkaribishaAzam wanataka kuhamia kwenye masumbwi wachezaji vs benchi la ufundi
Ni kweli,Mwaka Jana walikua Bora sana kuzidi Mwaka huu. Azam wanaresource uwanja,pesa Ipo haingii akilini kulizika kwa mwenendo huuu... Walipaswa kua title contender, CL wangefika angalau second stage.Ila ka maintain angalau kwenye top 3 na msimu uliopita kaonja top 2 mnyonge mnyongeni haki yake apewe sio rahisi kuwaondoa Simba na yanga hapo juu acha aendelee kujitafuta
Asante kwa taarifa pointi moja imebakia uwanjaniCookie mpira umeisha bila bila
Ni kweli nadhani kitu kimewaangusha msimu huu ni scoutingNi kweli,Mwaka Jana walikua Bora sana kuzidi Mwaka huu. Azam wanaresource uwanja,pesa Ipo haingii akilini kulizika kwa mwenendo huuu... Walipaswa kua title contender, CL wangefika angalau second stage.