FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

Simba hatuna striker, pengo la Baleke linaonekana dhahiri.
 
Bado SIMBA haina falsafa ninayoilewa....kama team ndogo kama hizi simba inakosa spidi ya kuingia ktk 18, ...haiwezi kufungua defence kwa haraka....cjui huko mbeleni kwa wakubwa wenzie...
Mbele gani unataka zaidi ya CAF CL?
 
Kamuulize Wydad
Usikariri mechi, angalia kinachotokea kwa wkt huu..
Hawa mashujaa wangepata utulivu wangeshapata bao....
Kusajili wachezaji wakubwa, kocha mkubwa, facilities nzuri tunategemea SIMBA ktk PITCH pawe na class na standard..

Si kwamba mashujaa wanacheza defence sana, ila ukiacha penalty, ni move ipi simba wamecheza ktk ushambuliaji..?
 
Simba yangu ni basi tu, Mashujaa wangekuwa na utuluvu tungeshaumia mpaka sasa. Kipindi cha pili kimekuwa cha moto mno
 
Usikariri mechi, angalia kinachotokea kwa wkt huu..
Hawa mashujaa wangepata utulivu wangeshapata bao....
Kusajili wachezaji wakubwa, kocha mkubwa, facilities nzuri tunategemea SIMBA ktk PITCH pawe na class na standard..

Si kwamba mashujaa wanacheza defence sana, ila ukiacha penalty, ni move ipi simba wamecheza ktk ushambuliaji..?
Kwani Mashujaa wana tofauti gani na Kagera Sugar hadi wao ushangae kufungwa moja na Simba
 
Simba yangu ni basi tu, Mashujaa wangekuwa na utuluvu tungeshaumia mpaka sasa. Kipindi cha pili kimekuwa cha moto mno
Kuna kautoto kapo Simba. Ndio katasababisha tusiupate ubingwa mwaka huu wakati nafasi tunayo.
 
Back
Top Bottom