jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Kwani ni sasa tu au siku zote? Unaonyesha tabia ya hovyo ya kusahau mapema.UMEME UMEKUA TATIZO SASA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni sasa tu au siku zote? Unaonyesha tabia ya hovyo ya kusahau mapema.UMEME UMEKUA TATIZO SASA
Hajawahi kuachaHuyu mwamba aliwahi kuwa tapeli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba kwa wanaoangalia Mpira,Simba wamebadilika au bado ni papatu papatu??Ngapi huko?
Ile iliyocheza Jana inakukuna vilivyo....Naomba kwa wanaoangalia Mpira,Simba wamebadilika au bado ni papatu papatu??
Saidoo Je,kabadilika au ni yaleyale?Natanguliza shukran.Maana hii timu yangu hainipi matumaini ya kutembea kifua mbele kabisa yani
Ayaa..Wewe jikute Kila anayeohoji ni adui.Tukianza kupoteana kwa hicho kikosi kibovu na uongozi uchwara utanikumbukaIle iliyocheza Jana inakukuna vilivyo....
pathetic
Nunua tv, achana na chogo.Uwanja minyasi iko juu sana ni kama una mabonde mabonde naona butua butua tu hapa
Pitch iko vizuri kabisaItakuwa pitch ina visiki
Kukimbia ukiwa unaangalia mbele inaweza kuwa ni risk