Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Uwezekano wa madogo kuchomoa upo kweli?Nisome #1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezekano wa madogo kuchomoa upo kweli?Nisome #1
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itakuwa pitch ina visiki
Kukimbia ukiwa unaangalia mbele inaweza kuwa ni risk
Ngumu sana.Uwezekano wa madogo kuchomoa upo kweli?
Hata mimi. Naona anakosa pasi za mwisho. Saido mauchoyo yamemjaaNatamani kuona FRED na CHAMA kwa pamoja, kabla sija- conclude...
Hata kutuliza mpira hawaweziMnajiita mashujaa halafu mnafungwa kizembe. Wapuuzi sana mnafanya huu uzi tuupite kama kituo cha polisi
Duh! Hapa nilipo ndo mpira ulikuwa unataka kuanza tu wakakata.Nimekuja hapa baada ya TV yangu kuzimika huku boli ndio likiwa dk ya 10 tu 😏
Tanesco ni wehu wehu wehu wehu kabisa kabisa kabisaaa
Mkuu unaposema Hawajui mpiran na goal za movement kwa Simba hatuzion unamaanisha nn.Ngumu sana.
Hawajui mpira kabisa.
yaani Simba wakitumia akili kidogo tu.
Hawa Mashujaa watakula nyingi.
Kwanza wanamabeki wasiojua kukaba.
Fred ambaye anacheza kama Straiker ni anakuwa peke yake mara nyingi.
Utulivu wa Mzamiru, Kanoute na Saidoo utaleta goli nyingi.
Kwa kifupi hiki kipindi cha kwanza Simba wametawaliwa na ka ubinafsi
Mashujaa vipi, wametengeneza za kutosha?Bado SIMBA ina- strugle namna ya kutengeneza CHANCES..
MZAMIRU, KONOUTE na SAIDOO wote wanakimbia wakiwa wanaangalia chini
Wewe siyo Simba.Ila Simba tunasafari ndefu sana
Simba ndio wamekuwa wazembe tu kwenye mipira yakumalizia.Mkuu unaposema Hawajui mpiran na goal za movement kwa Simba hatuzion unamaanisha nn.
Huyu mwamba aliwahi kuwa tapeli?
😂😂😂😂