Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo moto unafanana na Ule aliokuwa akipelekewa Utopolo Jana?Huu moto wanaopelekewa Simba tutarajie lolote muda wowote.
Tunabadilishiwa tune tu,Hii ndio Tanzania, na hatuna cha kuwafanya[emoji26]
Sitashangaa. Nadra sana Yanga ikiharibu halafu Simba wafanye vizuri. Sio aghalabu.Huu moto wanaopelekewa Simba tutarajie lolote muda wowote.
Kabisa, kwanamna mchezo ulivyobadilika second half lolote laweza kutokea.Sitashangaa. Nadra sana Yanga ikiharibu halafu Simba wafanye vizuri. Sio aghalabu.
Ni mzito...Huyu Fredy ni TAKATAKA, hakuna mchezaji humo.
Sasa una mwambia nani?View attachment 2893031
Tumeambiwa tuwe wapole
Wehu wake nini!?Huyo mwamuzi mwehu au
Mashujaa 0 - 1 SimbaTupeni matokeo ngapi ngapi huko?
Kamuulize WydadBado SIMBA haina falsafa ninayoilewa....kama team ndogo kama hizi simba inakosa spidi ya kuingia ktk 18, ...haiwezi kufungua defence kwa haraka....cjui huko mbeleni kwa wakubwa wenzie...