FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

Huyu Makonda alisafiri na kikosi cha Simba au imetokea tu mechi imemkuta Kigoma?
 
Aisee, Manula anafanya save ya maana dk ya 66, story ingekuwa tofauti.
 
Nilidhani Benchikha ametibu tatizo la Simba kumbe waaapi. Hawa jamaa hawana huruma na timu kabisa. Hawana tofauti na wachezaji wa ndondo tu.
 
Back
Top Bottom