FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

Uliekweka uzi weka live updates aisee.

Waanzisha nyuzi wa siku hizi miyeyusho sana aisee.
 
View attachment 2892593
All the Best Mnyama mkali.
Tukutane saa 10jioni kwa saa za Afrika Mashariki (EAT)

Simba ya Dar es Salaam itashuka Dimbani, Uwanja wa Ziwa Tanganyika kuwavaa wenyeji wao Mashujaa FC.

Simba kwenye msimamo wa Ligi yuko nafasi ya 3. Amecheza michezo 10.
Akiwa na Alama 23. Anayeongoza ligi Azam FC ana michezo 13 na Alama 31.

Simba anaingia kwenye mchezo huu wa 11 akiwa na hasira baada ya kutoa suluhu na KMC mchezo wake wa ligi uliopita.

Mashujaa wao wako Nafasi ya 15 out of 16. wakiwa na alama 9 tu kwa michezo 12.

#nguvumoja#

Kikosi cha Mashujaa Kinachoanza.
View attachment 2892932

Kikosi cha Simba Kinachoanza
View attachment 2892924
Updates...

Lake Tanganyika imefurika,
Mashabiki ni wengi sana
Timu ndio zinaingia uwanjani.
Tuwe pamoja nitawajuza matukio yote muhimu kwenye hii game.
Tuwe sote,
Uran....

Dakika 0:40'
Mpira umeonekana kama hauna upepo ukabadilishwa

Dakika 4'
Mpira unaendelea inaonekana bado Simba hawajakaa vizuri.
Mpira uko upande wao sana.

Dakika 7'
Game on...
Mashujaa 0- 0 Simba.
Mpira umetulia bado hakuna mashambulizi makali kutoka pande zote.

Dakika 9'
Fred anakosa goli la wazi kabisa.
Baada yakutokea shambulizi kali kwenye lango la Mashujaa.

Dakika 13'
Simba wanapata penalti.
Ni penalty ya wazi kabisa.
Kibu D amefanyiwa madhambi ndani ya boxi la Mashujaa.
Ngoja tuone.

Dakika 16'
Goaaaaaaaaalllll
Simba wanapata goli la kuongoza kupitia mkwaju wa Penalti.
Anafunga Saidoo Ntibazonkiza.

Dakika 17'
Manula anaokoa shambulizi la mashujaa.
Game on...
Mashujaa 0-1 Simba

Dakika 24'
Game on...
Simba wanafanya mashambulizi yakushtukiza kwenye lango la Mashujaa.
Kanoute yuko chini mpira umesimama kidogo.
Anafanyiwa matibabu.

Dakika 27'
Mpira unaendelea.
Mashujaa 0-1 Simba

Dakika 29'
Simba wanapata kona, inapigwa inakuwa tasa.

Dakika 31'
Simba wanafanya shambulizi kali, Saido anapiga kick nyepesi sana inaishia kwenye mikono ya Kipa.

Dakika 37'
Kibu anaonekana kutumia akili zaidi kwenye lango la Mashujaa.
Free Kick.
Nje kidogo ya Mashujaa.
Saidoo anapiga inakuwa goal kick.
Hawa wa kubebwa hawaishiwi tu penalties !
 
Uwanja umelalia kwa Mashujaa
 
Bado SIMBA ina- strugle namna ya kutengeneza CHANCES..
MZAMIRU, KONOUTE na SAIDOO wote wanakimbia wakiwa wanaangalia chini
 
Bado SIMBA ina- strugle namna ya kutengeneza CHANCES..
MZAMIRU, KONOUTE na SAIDOO wote wanakimbia wakiwa wanaangalia chini
Sure
 
Back
Top Bottom