NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Kiukweli umeumia sana na muda si mrefu chuki yako na Mayele inaenda kukutafuna.Sasa niumie kwa kipi?
Tatizo mmekariri vibaya mnataka watu wote tufanane mitazamo na ikiwa tofauti mnatafsiri chuki au maumivu