Wametolewa mchezoni na wameingiaHii mech imeish make kunguru wa rubumbashi wamepaniki
Hahahah. Wakitoka kiume watatamba hawa. Waache watoke tu weekend hii tutulie π€£πMkuu, kwani si ulikiri unafurahi wanavyocheleweshwa.
Chuma kingin ukoDortmund ila wamerudisha 1 mpira wa dk 12 una magoli ma3
Wakija kwa mkapa tunawapiga ata 3 haoKule mbele kama hamna Muunganiko vile
dah!, ungewepo kwny kamati ya ile game ya kwanza calculators would'nt be on our desksNimesema Hawa hawatoki na nipo kwenye kamati ya hiyo game hawatoki salama hao waarabu
Ubaya ubwela siosisi batu ba kongo jo tumeahidi kugawa point kwa kila mutu aliebaki, ili bakujiitang'a young africans basiende kokkotte, babaki bongo
Lifute mkuu!Kabao kenyewe ka penalty.
Tukiweka utani pembeni, Mc Alger sio wakali, kwa fitina za kwa Mkapa, hawatatoka salama.
Uto mechi yenu ya Jumapili ni kama fainal kwenu
Yes, ubaya will always be ubwelaUbaya ubwela sio
Batuu bakongo kazi Bhetu ni kugawa mabhuno bha kila timusisi batu ba kongo jo tumeahidi kugawa point kwa kila mutu aliebaki, ili bakujiitang'a young africans basiende kokkotte, babaki bongo
Mkuu kumbuk πΈ alichapw bao2Kabao kenyewe ka penalty.
Kumbuka mnaochez nao sio namungo mwamz sio kayokoWakija kwa mkapa tunawapiga ata 3 hao
ππ yaan uwo upuuzi wanaofanya apo na hao tp waje kucheza na cc km ivo ? Kitu tawafanya hawatasahau maishan mwaoKumbuka mnaochez nao sio namungo mwamz sio kayoko
Unazungumzia Yanga ya zamani siyo hii ya Gusa-Achia-Twende kwao. TP Mazembe alitembezewa kichapo cha mbwa koko bila penalty. Hao MC Alger wanategema hiyo penalty tu.Mkuu kumbuk πΈ alichapw bao2
Ni bao lakini au huko kwenu mnaliitaje kwenye kikokotoo?Kabao kenyewe ka penalty.
Kuna mabadiliko yoyote ya mchezaji tangu mfungwe naUnazungumzia Yanga ya zamani siyo hii ya Gusa-Achia-Twenda kwao. TP Mazembe alitembezewa kichapo cha mbwa kokjo bila penalty. Hao MC Alger wanategema hiyo penalty tu.