Wameshatoka rasmi.Wajinga sana wanashindwa kuahidiana mechi za maamuzi wanataka kuleta uchawi kwa waarabu
Punguz makasiliko 🤫Sa we inakuuma nini?, lini umeanza kuipenda mazembe lini liini?
Mhasibu wewe najua huitaji calculator..hesabu zikoje hapo?Punguza idadi ya visa hapo, hesabu inakuwa ngumu
UmutuuuKumbuka MCA akimpiga Uto anaongoza, sasa Al Hilal hawezi kukubali huo ujinga
Straight to ignore list. Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.kwa sisi wazawa wa mikoa ya pwani msenge ni mti wa kuchokolea pweza. Pumbavu pro max wewe
Kibarua cha majirani kimeanza kuwa kigumu.Ft
Alger 1 - 0 Mazembe