FT: MC Alger 1-0 TP Mazembe | CAF Champions League | Stade de 5 Juillet | 10.01.2025

Sasa hapa kazi imebaki kwa Yanga, kama watashinda basi tutashuhudia mfano wa fainali ya hili kundi kati ya Mc na Yanga.
Yanga fainali yake ipo Jumapili, akiwafunga Al Hilal kwa Mkapa mwarabu hatoki, mechi kama hizi Yanga huwa wanapandisha morali juu sana
 
Hivi kosa la hawa ni nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…