Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,836
- 2,138
Yanga fainali yake ipo Jumapili, akiwafunga Al Hilal kwa Mkapa mwarabu hatoki, mechi kama hizi Yanga huwa wanapandisha morali juu sanaSasa hapa kazi imebaki kwa Yanga, kama watashinda basi tutashuhudia mfano wa fainali ya hili kundi kati ya Mc na Yanga.