Atatakiwa amfunge Mc Algier goli 3Yanga ana njia mbili
1. Atoe droo kesho kisha aje amfunge MCA. Watalingana point anabidi kuangalia GD. Uto ina -2 mpaka sasa, inabidi apate ushindi wa goli nyingi
2. Afunge mechi zote 2 bila kujali idadi ya magoli itakuwa na 10
Tatizo unafki umekujaa
Akitoa draw inabidi amfunge Mc Alger magoli mengi kuzidi aliyofungwa ugenini,1. Atoe droo kesho kisha aje amfunge MCA. Watalingana point anabidi kuangalia GD. Uto ina -2 mpaka sasa, inabidi apate ushindi wa goli nyingi
Yanga ana fainali mbili.Sasa hapa kazi imebaki kwa Yanga, kama watashinda basi tutashuhudia mfano wa fainali ya hili kundi kati ya Mc na Yanga.
Watafungwa hao goli 4 mkuuFaida nyingine wana mashabiki kama wote huku Bongo
Hiyo haiwezekaniWatafungwa hao goli 4 mkuu
πππππππππHiyo haiwezekani
Hapo ndio mnapoichanganya calculatorπππππππππ
Hesabu ngumu sana hizoπ³Akitoa draw inabidi amfunge Mc Alger magoli mengi kuzidi aliyofungwa ugenini,
Ni mawazo yakKiufundi MC Alger kucheza mapema inawasaidia sana kupumzika kuja kuikabili Yanga. Hii ni faida kwa waarabu.
Ulikua unaminya mazagaDaaah hii mechi mimi kama hater nimeimaliza nikiwa nimechoka sana.
Mc Algier wanaweza kujisifu kama ni juhudi zao peke yao kwenye haya matokeo.
Lakini uhalisia ilikuwa ni lazima itumike nguvu ya ziada kufanikisha huu ushindi.
Maana ilifika muda nimezibana mpaka nikaaona haitoshi ikabidi nibane na za paka ambaye yupo humu ndani.
Niwahakikishie hii mtapandisha sukariYanga fainali yake ipo Jumapili, akiwafunga Al Hilal kwa Mkapa mwarabu hatoki, mechi kama hizi Yanga huwa wanapandisha morali juu sana
Yanga akishinda morale itakuwa juu sana na Alger atakuja na presha. Nionavyo Yanga ikishinda, basi chance ya kupita ni 70%.Yanga ana fainali mbili.
Fainali ya kwanza ni hapo kesho akishinda hiyo ana fainali ya pili dhidi MC Alger.
Al Hilal wanahitaji ushindi ili waongoze kundi.
Sidhani kama kutakuwa na mchezo wa kuachiana.