FT: MC Alger 1-0 TP Mazembe | CAF Champions League | Stade de 5 Juillet | 10.01.2025

Kila la kheri chama langu Tout Pouisant Mazembe🖤🖤 🤍🖤🖤 🐊 Daima Mbele Nyuma Mwiko 🤍🤍🤍
 
Kila la kheri chama langu Tout Pouisant Mazembe[emoji1665][emoji1665] 🤍[emoji1665][emoji1665] [emoji246] Daima Mbele Nyuma Mwiko 🤍🤍🤍
Sijui ni kwanini wana Yanga wanaiombea Tp Mazembe ushindi wakati ushindi kea Tp Mazembe itafufua matumaini kwao kushinda dhidi ya Al Hilal
 
Sijui ni kwanini wana Yanga wanaiombea Tp Mazembe ushindi wakati ushindi kea Tp Mazembe itafufua matumaini kwao kushinda dhidi ya Al Hilal
Wakishinda itamchelewesha kidogo MC algers ambaye ndiye tishio na ndiye tunakutana naye final match. Mazembe akishinda zote anakuwa na 8 Yanga tukishinda Zote tunakuwa na 10 au hata tukidraw tunakuwa sawa points na TP Mazembe ila tunapita kwa advantage ya ushindi juu yao.
 
Sure
 
All the best majirani zetu, tuwe wazalendo aisee Mazembe ni ndgu zetu kabisa hawa.
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…