gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Wakidroo tu na hilal,wamepita, maana mwarabu atalogwa,puliziwa dawa za mbu,figisu,atakula mkono kwa mkapaUto nafasi ya kufuzu kwa mzuka walio nao kwa sasa bado ni kubwa mno .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakidroo tu na hilal,wamepita, maana mwarabu atalogwa,puliziwa dawa za mbu,figisu,atakula mkono kwa mkapaUto nafasi ya kufuzu kwa mzuka walio nao kwa sasa bado ni kubwa mno .
Kuna namna naona wanapita hawa jamaaWakidroo tu na hilal,wamepita, maana mwarabu atalogwa,puliziwa dawa za mbu,figisu,atakula mkono kwa mkapa
Yanga bado wanahitaji hesabu na dua.Mkuu, ila mbona Yanga wala hawahitaji hesabu za calc.
Yanga washinde tu mechi 2, watafikisha point 10 ambazo Alger hawezi zifikia.
Kwa upande wa Alger yeye anakuja kutafuta draw tu, anafikisha 9 ambazo Yanga hata akishinda goli 10 kesho hazifikii.
Mi sare kwangu nakunywa supuAngola hutoboi,ndipo macho yatapokutoka, halafu yanga anadroo hilal,we mwenyewe unajua alger atachofanywa lupaso, wakati wewe lupaso utadroo
Wapiga ramli katika ubora wao.Yanga bado wanahitaji hesabu na dua.
Kilichotokea leo ilikuwa ni dua. It turns out imefeli.
Kesho wanaingia kwenye hesabu. Hesabu inayowalazimu washinde iwe isiwe.
Iwapo wakisare watalazimika mechi ya mwisho kushinda zaidi ya bao 3.
Mpaka hapo inakuwa sio ushindi tu utaokufanya upite, ni ushindi unaokuja na changamoto nyingine kuongeza ugumu.
Kwa hiyo sio kwamba tunakataa kuwa Yanga hana nafasi ya kupita. No hatuna maana hiyo.
Ila tunachokusudia ni kwamba ana mzigo mkubwa unaomshurutisha kupata matokeo kwenye mechi 2 mfululizo ambapo hapo kuna moja ya away na moja ni dhidi ya mshindani wake wa kuwania kufuzu.
Hilo tu.
Upo sawa mkuu,Yanga bado wanahitaji hesabu na dua.
Kilichotokea leo ilikuwa ni dua. It turns out imefeli.
Kesho wanaingia kwenye hesabu. Hesabu inayowalazimu washinde iwe isiwe.
Iwapo wakisare watalazimika mechi ya mwisho kushinda zaidi ya bao 3.
Mpaka hapo inakuwa sio ushindi tu utaokufanya upite, ni ushindi unaokuja na changamoto nyingine kuongeza ugumu.
Kwa hiyo sio kwamba tunakataa kuwa Yanga hana nafasi ya kupita. No hatuna maana hiyo.
Ila tunachokusudia ni kwamba ana mzigo mkubwa unaomshurutisha kupata matokeo kwenye mechi 2 mfululizo ambapo hapo kuna moja ya away na moja ni dhidi ya mshindani wake wa kuwania kufuzu.
Hilo tu.
Leo nyinyi wakusema kauli hizi?Wapiga ramli katika ubora wao.
Na Mc Alger apoteze mechi yakeUpo sawa mkuu,
maneno rahisi ni Yanga ili apite ashinde mechi zake.
Halafu tusisahau Mc alger yeye anatafuta point moja tu, so anaweza kuja kucheza counter
Utapata tabu sana na nakuonea huruma sana kwa vile siwezi kukunusuru na tabu hizo.Leo nyinyi wakusema kauli hizi?
Wakati mlikuwa mnaombea sare au Mc Alger afungwe?
Kesho ni jumapiliMsisahau, Yanga anacheza jumapili sii kesho
Sawa..na kesho akifingwa anaweza kuagaYanga ana njia mbili
1. Atoe droo kesho kisha aje amfunge MCA. Watalingana point anabidi kuangalia GD. Uto ina -2 mpaka sasa, inabidi apate ushindi wa goli nyingi
2. Afunge mechi zote 2 bila kujali idadi ya magoli itakuwa na 10
Angalia muda wa hiyo comment yakoMsisahau, Yanga anacheza jumapili sii kesho
Ndio calculator imekupa hilo jibu baada ya ku solve hesabu yenu?Watafungwa hao goli 4 mkuu
Uto...mshindwe wenyewe sasa...muarabu kawarahishia kazi..Uto nafasi ya kufuzu kwa mzuka walio nao kwa sasa bado ni kubwa mno .
Al hila si ashinde vs mazembe ili aongoze kundiYanga ana fainali mbili.
Fainali ya kwanza ni hapo kesho akishinda hiyo ana fainali ya pili dhidi MC Alger.
Al Hilal wanahitaji ushindi ili waongoze kundi.
Sidhani kama kutakuwa na mchezo wa kuachiana.
Mkuu tafadhali sana mimi ni mnyamaUto...mshindwe wenyewe sasa...muarabu kawarahishia kazi..
Kwa msimamo huu uto washatoka