Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwan dube yupo?Huyu Duke anafanya nini uwanjani mpaka sasa hivi?
Namba 2 nakaziaVitu Viwili Vinatucost
1. Ufupi
2. Umri
Usajili unahitajika
Vyura wote wanasweatLubaaa wameshaingia bwawani.
Sasa hapa tunazika au tunasafirisha usiku huu?Tangu lini ukawa shabiki wa Yanga?/