Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Inatuhusu nini sisiHee, Endeleeni kuleta Matokeo huko...
Sijui hizi dua za hapa Mungu anazipinduapindua?
Yaani tunamuombea Medeama Lkn anafunga Al Ahly
my nidakika yangapi Sasa?Mi hili kundi silielewi...hahahah
ππMtani Hili kundi anaenda ali Ali na majini Yanga SCMi hili kundi silielewi...hahahah
Unadhani naangalia? Naangalizia humu kwny comment...my nidakika yangapi Sasa?
Eti ee basi safi sana...ila CR si bado ana mechi na hao Vibonde mediama?ππMtani Hili kundi anaenda ali Ali na majini Yanga SC
Dakika ya 84 ali Ali anaongoza goli moya medeama wana sufuriUnadhani naangalia? Naangalizia humu kwny comment...
Yanga kesho wajitahidi aisee...Dakika ya 84 ali Ali anaongoza goli moya medeama wana sufuri
Ndio lakini kesho CR akipoteza kazi anayo ngumu sana ππEti ee basi safi sana...ila CR si bado ana mechi na hao Vibonde mediama?
Hapana hana ugumu...ugumu bado mtakua nao nyie...niamini mimiNdio lakini kesho CR akipoteza kazi anayo ngumu sana ππ
Kesho majini yatakuwa mengi zaidi subiani lazima tushinde ππYanga kesho wajitahidi aisee...
sawa my badae basiπUnadhani naangalia? Naangalizia humu kwny comment...
Ali Ali ni ndugu zetu mtani wangu ππ tuna undugu wanaweza kutukaribisha vizuri pale Cairo Egypt πππHapana hana ugumu...ugumu bado mtakua nao nyie...niamini mimi
Tumetuma nguruwe wa kutosha hapo nje ya uwanja majini hayatakaa hapo π πKesho majini yatakuwa mengi zaidi subiani lazima tushinde ππ
haya mambo Mungu hausiki nayo bhanaHee, Endeleeni kuleta Matokeo huko...
Sijui hizi dua za hapa Mungu anazipinduapindua?
Yaani tunamuombea Medeama Lkn anafunga Al Ahly
Kesho tukifungwa nitalia sana πππ€£Tumetuma nguruwe wa kutosha hapo nje ya uwanja majini hayatakaa hapo π π
Ahly wamecheza kikubwaHii gemu ni nzuri mnoooo,aisee hawa Medeama ni hatari mnoooo!
kiukweli Al ahly akitoka Salama leo basi nitaamini kuna uchawi!.
Huyu Mwarabu ameshuka sana kiwango!
Si mnaleta zereu...watawachabanga ili msiwaletee utani..Ali Ali ni ndugu zetu mtani wangu ππ tuna undugu wanaweza kutukaribisha vizuri pale Cairo Egypt πππ
Thubutuu, yanga asubiri kukaangwa tuHao Al ahaly Yanga anaenda kujipigia kwao