Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu haiwezi kujenga mashambulizi kabisaKatikati hakuna kiungo au? Mbona naona kama siwaelewi wabongo wangu au kiwango ndio bado kidogo kwa mafarao.
Zile kona za Feisal ni mbinu au uoga. Maana naona amepiga hazifiki kwa watu, zinaishia kabla ya kuwafikia wanaousubiria.Pass Moja ya Salah imevunja lain mbili za stars na kuzaa bao.
Alafu anacheza katikati kama free role.....tofauti na akiwa liverpoolPass Moja ya Salah imevunja lain mbili za stars na kuzaa bao.
Na wewe au wewe umehama nchi mkuu. Tunachambua kwa uhuru ikiwemo mabaya.Nimejifunz kitu kikubwa sana kwa watanzania,ni walalamikaji mno hawana shukurani hata kwa dogo,ni wanafiki sanaaaa,tubadirike wabongo
Anajua akicheza kati ni rahisi kumzuia asilete mazara, anajitega pembeni ila mpira ukiingia kati utakuta amesha sprint na kupiga.Alafu anacheza katikati kama free role.....tofauti na akiwa liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app
Noted mkuuAnajua akicheza kati ni rahisi kumzuia asilete mazara, anajitega pembeni ila mpira ukiingia kati utakuta amesha sprint na kupiga.
Yuko pembeni ila anajivunia Kasi yake na maamuzi ya haraka kama umeme.
Je ungependa kuona wabongo washukuru kwa lipi ilihali hapa watu wanaongea madhaifu ya timu kuelekea katika mashindano ya AFCON iliyo karibu kabisa kuanzaNimejifunz kitu kikubwa sana kwa watanzania,ni walalamikaji mno hawana shukurani hata kwa dogo,ni wanafiki sanaaaa,tubadirike wabongo
Kocha ni mbabaishaji, wangese TFF kuleta aina hii ya kina Amunike, NdairagijeHii stars ina changamoto kubwa kwenye midfield na ushambuliaji, wakiendelea kucheza kwa hii style butu wanaweza kutolewa bila kupata goli