Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hakuna mtu mchezaji wa kufunga goli hapoGoli linarudi hili
Ndio madogo wakaze ivoivooooo🤣🤭Hiko kimoko hakirudi hao madogo wanajua kukamia hao sio Singida, 🤣
Kwanza Leo dakk hazitakua nyingii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiko kimoko hakirudi hao madogo wanajua kukamia hao sio Singida, [emoji1787]
La viazi au mihogo?Tuta
Dk 80 approaching [emoji23]Wanaloooo ..Mlandege pigaaa mbwakoko hizooo[emoji2960]
Weee mwasibu umesemaje hapaaa?Simba inachezea jina tu ila timu hakuna
Hawana ujanja hawa kolo wizardWanaloooo ..Mlandege pigaaa mbwakoko hizooo[emoji2960]
Yaani wachezaji wa simba wanacheza kama hawalipwi vile, utumbo mtupu.
Kwa hiyo injini imegoma kuwaka?😁Plug hazichomi wese kudadek
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman nimevurugwaa leo, mniachee.Kuna watu wanavurugwa vibaya mno wakifungwa. Soma ulichoandika
Washikilie hapo hapo na refa asifanye yake maana hawachelewi kugawa penati ya bure na hakuna wa kuwafanya kitu 😂Ndio madogo wakaze ivoivooooo🤣🤭
NjaaaaaaDah! Ila tutashinda
Na bado hujasema mjukuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman nimevurugwaa leo, mniachee.
Man city na simba leo, wamejua kuniwezaaa khaaah