Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ndio nafika Leo simu yangu ilikuwa kwa fundi
Hongereni simba kwa kuchukua kombe
NB I mean I mean kombe la alkasusu
Hongereni simba kwa kuchukua kombe
NB I mean I mean kombe la alkasusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaiamini mpk siku nazikwa...Tatizo lake ni kuiamini timu yake utadhani anawasindikizaga kina mangungo kuroga
Pole sana mkuu.... Simba ndiyo ilivyo .....nipe no pm .....niku m-pesa kidogo ujifarijiNizimie?? Ur not serious my young bro...
Waache wala urojo wafurahie na wao..ile ilikua siku muhimu kwao...
Leo Jumatatu, tafutia familia yako mahitaji. Simba na Yanga zinasahaulisha tu matatizo, lakini hazitatui. Ni sawa tu na kunywa pombe, ingawa hata maziwa.
Utakufa siku sio zakoNitaiamini mpk siku nazikwa...
##hizi sio shida zenu##
Naona semaji la CAF; pasipo hata na chembe ya aibu limeamua kuvaa tshirt yenye matokeo ya nje ya uwanja!!
Haikuhusu...Utakufa siku sio zako
Ungekua na hela usingekua unashinda jukwaank 24/7 kuanzisha nyuzi za kukupa faraja..yani kwa hali mbaya uliyonayo ni Simba pekee inayokufariji kwa kufeli kwake...mtu kama ww ni maskini wa mali na hali...labda unitumie namba yako nikupe bando la mwezi ili ujifariji vzr kwa kuanzisha mada za Simba..Pole sana mkuu.... Simba ndiyo ilivyo .....nipe no pm .....niku m-pesa kidogo ujifariji
Inanihusu nyoko wewe, makalio yako mabaya.Haikuhusu...
Huna akili...umebakiza za kuvukia barabara.Inanihusu nyoko wewe, makalio yako mabaya.
Makolo wamekumaliza akiliHuna akili...umebakiza za kuvukia barabara.
Huna jipya....Makolo wamekumaliza akili
We unalo kaka?Huna jipya....