Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaha haha hahaha hayaSawa..🤣🤣🤣
Lakini pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha haha hahaha hayaSawa..🤣🤣🤣
Lakini pole
Mlandege kawa mlasimba
Taifa lolote ilimradi hawavai jezi za njano na kijani.Pole Mtani. Tuhamie AFCON sasa.
Timu ipi unashangilia tuungane?
Asante,
Ila nguvu yetu ni moja.
Tuko pamoja katika hili 🤝🤝🤝Taifa lolote ilimradi hawavai jezi za njano na kijani.
Ila semaji lao liko vizuri 😁😁😁[emoji23][emoji23][emoji23] wamekufa kiume
😁😂😂😂
Ulijipanga kweli kwa majibu. Naona unao tu leo mpaka maji Waite mma.Tukupe filimbi uchezeshe!
Huyu jamaa kama ni psychiatric.
Ni riziki sio ridhiki
Nitashabikia timu zitakazocheza na South Afrika!Pole Mtani. Tuhamie AFCON sasa.
Timu ipi unashangilia tuungane?
Singida
Ahsanteni mi nilijua ni hawa hawa 5imba.Singida
Hahahaaa. LolTaifa lolote ilimradi hawavai jezi za njano na kijani.
Kwa nini Mkuu?Nitashabikia timu zitakazocheza na South Afrika!
Hatariii.....ila si mbaya
Naam!Jamaniii...hii ni zawadi kwa wazanzibaree