BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Can u imagine nyie ndo mashabiki wa simba! Hamna mnachokielewa kabisa aiseeOnana ni forward au back? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona had yeye anajaribu kutaka kufunga huko mbelee, je ikitokea counter attack? Woiiiiih
Marefa washendweeeee ..😡😡Washikilie hapo hapo na refa asifanye yake maana hawachelewi kugawa penati ya bure na hakuna wa kuwafanya kitu 😂
Hii ngoma inabaki ZNZ
[emoji81][emoji81]mbona amueleweki jana saido.leo onana kesho balekeKocha wa SSC arudi mezan aangalie upya hesabu Zake
Zonez je anahitaji wschezaj kama onana kweli au saido
Dkk 73Na bado hujasema mjukuu...
Man City naye kapigwa leo? [emoji15]
Upo mkuu?Simba GENGE LA WAHUNI tu
Tatizo Simba haichezi na Mlandege Tu.
Dah! Ila tutashinda